Monday, May 6, 2019

Vita vya kwanza vya dunia

Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwaUjerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria naUturuki (ziliitwa "Mataifa ya Kati", ing. central powers) kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa,Urusi, Uingereza, Italia,Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo (zilitwa "Mataifa ya Ushirikiano", ing. allied powers).